top of page

BRANNY INFORMATION CENTER

Your Go-To Source

We are all told, “live your life to the fullest”; I am here to do just that. Branny information center serves as a vessel to project my passions, and clue in my loyal readers as to what inspires me in this crazy world. So, sit back, relax, and read on.

Press Conference Microphones
Reading the Paper
TV Reporter
Morning Coffee & Paper
Filming Streets
News Cameras
Post: Welcome

Balozi wa Italia nchini DRC auawa katika shambulio

Writer's picture: brandon matarabrandon matara

Waasi wa Kihutu kutoka Rwanda FDLR, wamekanusha madai yanayowahusisha na mauaji ya balozi wa Italia nchini Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo na badala yake waasi hao wamewatuhumu wanajeshi wa Kongo na Rwanda.

Wizara ya mambo ya ndani ya Kongo iliwabebesha lawama waasi hao wa FDLR ya mauaji hayo ya balozi Luca Attanasio yaliyotokea jana Jumatatu baada ya msafara wa shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP kushambuliwa karibu na mji wa mashariki mwa nchi hiyo wa Goma.

Kwa mujibu wa duru za kidiplomasia mjini Kinshasa na shirika la WFP balozi huyo aliuwawa akiwa katika shughuli zake za kikazi katika eneo hilo.

Hata hivyo leo kundi hilo la waasi wa Kihutu kutoka Rwanda limetoa taarifa likidai kwamba msafara wa balozi ulishambuliwa karibu na mpaka wa Rwanda katika eneo ambalo sio mbali na ngome ya vikosi vya wanajeshi wa DRC na Rwanda.

Pia waasi hao wameitaka serikali ya Kongo na ujumbe wa amani wa Umoja wa Mataifa MONUSCO kuchunguza mauaji hayo badala ya kutowa shutuma.


7 views0 comments

Recent Posts

See All

India is trying to build its own internet

While Twitter winds up in a drawn out stalemate with the Indian government over the organization's refusal to bring down specific...

Comments


Post: Blog2_Post

Subscribe Form

Thanks for submitting!

0766316234

  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram

©2021 by Branny information center. Proudly created with Wix.com

bottom of page